Facebook Comments Box

Sunday, February 3, 2013

HATIMAYE KITALE APATA JIKO

www.kitongoni.blogspot.com 
Yule msanii wa filamu na vichekesho Hamis Kitale maarufu kama kitale leo mepata baraka ya kuvuta jiko yaani kuoa. Msanii huyo ambae alipata umaarufu kwa kuigiza kama teja. Ameachana na kambi ya wasela kwa kuoa leo.




MAADHIMISHO YA MIAKA 36 YA CCM KIGOMA LEO

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete leo wameongoza Matembezi ya Mshikamano yaliyoanzia kwenye eneo la Mnarani na kuishia kwenye ofisi za CCM mkoani Kigoma,asubuhi ya leo. Matembezi hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi,Rais Jakaya Kikwete {wa pili kushoto}na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongoza matembezi ya mshikamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi {CCM} yanayofanyika leo kwenye uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma.Matembezi hayo hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla.
























HUU NDIO UHARIBIFU ULIOLETWA NA MOTO KWENYE GHOROFA LA PPF TOWER





PAMOJA NA KUPEWA PENATI YA KUTATANISHA SIMBA WASHINDWA KUNGURUMA

.Dk 90 mpira umeisha. FULL TIME SIMBA 1-1 JKT

Dk 85 Simba inafanya mabadiliko ametoka Ramadhan Chombo ameingia Kiggi Makassy.

Dk 86 Penalty, Simba inapata penalti katika mazingira ya kutatanisha. Shomarh Kapombe anapiga anakosa.

Dk 84 JKT imefanya mabadiliko ametoka Amos Mgisa ameingia Samwel Madenge

Dk 74 Simba imefanya mabadiliko ametoka Abdallah Seseme ameingia Haruna Moshi Boban.

Dk 70 Timu zinashambuliana kwa zamu, JKT wanaonekana wamezinduka.

Dk 62 Gooo..! Nashon Matali anaifungia JKT bao la kusawazisha akiunga pasi ya Mgosi. Simba 1-1 JKT

Dk 60 JKT imefanya mabadiliko, ametoka Emmanuel Pius ameingia Amos Mgisa.

Dk 54 JKT imefanya mabadiliko, ametoka Credo Mwaipopo ameingia Mussa Holoa.
Dk 51 Simba wanapiga kona na beki Damas Makwaya anaokoa mpira katika mstari wa goli. Simba 1-0 JKT. Simba imefanya mabadiliko, ametoka Mrisho Ngassa anaingia Abdallah Juma.

Dk 47 Timu zinashambuliana kwa zamu Simba wakiendelea kuongoza.

DK 45: Mpira mapumziko Simba 1 - 0 JKT


 Dk 39 Simba inatawala mchezo hasa kiungo na ushambuliaji japokuwa JKT nao wanaonekana kutafuta bao la kusawazisha. Simba 1-0 JKT

DK 18: Simba 1 (Kiemba) - 0 Jkt Ruvu.

Dk 9 Mussa Mgosi wa JKT anakosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa Juma Kaseja wa Simba: Simba 0-0 JKT.   

Mpira umeanza Simba 0 -0 JKT

First Eleven of Simba SC vs JKT Ruvu Taifa leo
1- Juma Kaseja
2-Haruna Shamte
3-Paul Ngalema
4-Komalbil Keita
5-Shomari Kapombe
6-Abdallah Seseme
7-Haruna Chanongo
8-Mwinyi Kazimoto
9-Mrisho Ngassa
10-Amri Kiemba
11-Ramadhan Chombo


JKT RUVU: Shaaban Dihile, Credo Mwaipopo, Kessy Mapande, Kisimba Luambano, Damas Makwaya, Jimmy Shoji, Hussein Bunu, Nashon Matali, Mussa Mgosi, Zahoro Pazi, Emmanuel Pius

 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU