Facebook Comments Box

Monday, August 19, 2013

JENGO MALI YA WAISLAM LILILO BINAFSISHWA NA BAKWATA LAVUNJWA

Jengo la Bakwata lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Morogoro na Bibi Titi jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia juzi lilibolewa ghafla wakati mali za wapangaji zikiwemo ndani na kusababisha hasara kubwa ya
uharibifu na upotevu wa mali.

Chanzo kimoja cha habari eneo hilo kimedai kuwa BAKWATA wamelibinafsisha jengo hilo kwa mwekezaji kutoka nje ya nchi bila kuwashirikisha wapangaji wake. Mwekezaji huyo ndiye anayedaiwa kutoa agizo la kubomoa jengo hilo kabla ya notisi aliyoitoa kwa wapangaji hao kumalizika.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU