Facebook Comments Box

Thursday, May 29, 2014

MTOTO WA MFALME WA SAUDIA RABIA AMENUNUA NDEGE YA KIFAHARI 'AIR BUS A380' KWA $500 MILIONI

Mtoto wa Mfalme wa Saudia Rabia ameonesha jeuri ya pesa pale aliponunua ndege ya kifahari aina ya AIR BUS A-380 kwa dola za kimarekani 500 Milioni. Ndege hiyo ya kifahari ina vyumba ambavyo ndani yake vina malu malu na kila aina ya Nakshi nakshi kama uonavyo hapo pichani:-



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU