Facebook Comments Box

Tuesday, June 10, 2014

PICHA: ANGALIA UZINDUZI WA LIFT YA KWANZA MKOANI MBEYA

Waalikwa wakielekezwa jinsi ya kutumia lift

mgeni rasmi akizindua lift
Walianza kwa kuweka tangazo la uzinduzi huo
  
wageni waalikwa wakipanda lift baada ya kufunguliwa



SHEIKH MWINGINE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI KENYA

Mwenyekiti wa Baraza la maimamu nchini Kenya auawa kwa
risasi Mwenyekiti wa baraza la maimam na muhubiri maarufu nchini Kenya Sheikh Mohammed Idris, ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mombasa.

Sheikh Mohammed Idris ameuawa karibu na msikiti ulio karibu na
nyumbani kwake eneo la Likon baada ya kuvamiwa na watu waliokuwa na silaha, wakati akitoka nyumbani kuelekea msikitini.

Taarifa kutoka katika eneo hilo zinasema kuwa Sheikh Mohammed
Idris alikuwa akipata vitisho vya mara kwa mara na amewahi kutoa taarifa za vitisho hivyo na kusema kuwa anahofia maisha yake.
Mwili wake umehifadhiwa katika hospitali ya kumbukumbu ya Pandya, mjini Mombasa. Pamekuwa na matukio ya mara kwa mara ya mauaji ya viongozi maarufu wa dini nchi kenya katika mazingira ya kutatanisha.
Inna lilahi wa inna ilayhi rajiiun.


KIJANA AJIUA KWA RISASI ARUSHA

Kijana maarufu kwa utajiri na anaejulikana kama pesa chafu mkoani Arusha amejiua kwa kujipiga risasi ya kichwa. Polisi wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha yeye kujiua.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU