Facebook Comments Box

Saturday, March 1, 2014

PICHA: YANGA ILIPO INYONYOA AL AHLY

Young African Sports Club leo imefanya yale ambayo watanzania wengi walio tarajia baada ya kuinyonyoa Al ahly kwa bao moja kwa bila.
Bao lilifungwa na Nadir Haroub katika dakika ya 82.
Yanga ndio iliocheza mpira safi na kutengeneza nafasi nyingi za magoli.
Washabiki wengi wanasema kwa mpira walio onesha Yanga waarabu watatolewa na Yanga.

Tunawatakia Yanga kila la heri.
Chini ni picha za mpambano huo zikiwemo za washabiki wa Simba ambao waliamua kung'oa viti na kuwarushia washabiki wa Yanga.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU