Facebook Comments Box

Friday, January 3, 2014

ANGALIA ALICHO POST BERBATOV KUHUSU ARSENAL

Maswali mengi yalitokea jana baada ya mwanasoka Dimitar berbatov kupost katika ukuta wake wa facebook kuhusu Arsenal alipost habari ambayo ilikuwa ikiuliza kuwa kama yeye anaweza kuisaidia timu hiyo ya Arsenal kuchukua ubingwa.

Hata hivyo post hiyo haikuweza kudumu kwa zaidi ya dakika 20 kwani aliifuta katika ukurasa wake huo.

Vyombo vingi vya habari vimekuwa vikitaja kuwa mshambuliaji huyo mkali ameshamalizana na Arsenal na sasa imebaki mkataba kusainiwa tu.

Kochawa Arsenal aliamua kutafuta mshambuliaji baada ya washambuliaji wake wawili kuumia Giroud na Bendtner. Baadhi ya washambuliaji anao wataka ni pamoja na Lewandowski na Benzema

Picha chini ni post ya Dimitar Berbatov katika ukurasa wake maalum wa facebook.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU