Facebook Comments Box

Thursday, January 2, 2014

SHEIKH SHARIF AKANA KUBADILI DINI

Habari zilizokuwa zikienezwa kuwa yule sheikh mdogo ambae alisilimisha wengi na kuonesha maajabu ya mungu kuwa amebadili dini zimetolewa ufafanuzi na Sheikh sharif mwenyewe na kusema ni za uzushi na hajui ni kwa nini zinaenezwa.
Akitumia mtandao wa facebook katika ukurasa wake alitanabaisha umma. Pamoja na kuuwasa juu ya uzushi huu.

Chini ni maneno aliyo yaweka hapo



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU