Facebook Comments Box

Sunday, January 5, 2014

SHOTI YA UMEME YATHIRI NYUMBA ZAIDI YA MIA: MOTO MPAKA SASA BADO HAUJAZIMWA

Taarifa ilotufikia muda mfupi kua shoti ya umeme imeathiri nyumba takribani 100 katika mji wa Pemba kijiji cha Shumba mjini na mpaka hivi sasa hakujawezekana kuzimwa kwa moto huo kwa kutopatikana gari la kuzimia moto huu ni msiba mkubwa kwa ndugu zetu naomba tuwatakieni dua ili Allah awahafifishie mtihani huo


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU