Facebook Comments Box

Thursday, January 16, 2014

WAENDESHA BODABODA WAANDAMANA ARUSHA

Waendesha bodaboda Arusha wameandamana baada ya amri ya kutoruhusiwa kupaki pikipiki zao katikati ya jiji.

Waendesha bodaboda hao wameandamana na kusababisha polisi kusambazwa jijini ili kuzuia vurugu zozote ambazo zinaweza kuzuka.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU