Facebook Comments Box

Saturday, October 5, 2013

MAN CITY YAJIPOZA MACHUNGU YA KUFUNGWA NA BAYERN MUNICH, YAIKUNG'UTA EVERTON 3 - 1


Klabu ya Manchester City imemaliza rekodi ya Evertonkutofungwa katika Ligi Kuu ya England, baada ya kuifunga mabao 3-1 jioni hii.
 
Aston Villa na Bayern Munich Ziliwafanya City waingie kwa hasira leo na kipa wao Joe Hart na kufanya kweli Uwanja wa Etihad Stadium
 
Romelu Lukaku aliifungia Everton bao la kuongoza dakika ya 16, lakini Alvaro Negredo akasawazisha dakika moja baadaye na Sergio Aguero akafunga la pili kabla ya mapumziko.
 
Tim Howard akajifunga dakika ya 69, akitoka tu kuokoa penalti ya Aguero.
 
Kikosi cha Manchester City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Kompany/Nastasic dk35, Lescott, Kolarov/Clichy dk58, Toure, Fernandhino, Milner, Negredo, Silva, Aguero/Nasri dk78.
 
Everton: Howard, Coleman, Jagielka, Distin,  Baines, Mirallas/Deulofeu dk62, McCarthy, Naismith, Osman/Gibson dk62, Barkley, Lukaku/Kone dk82.
Sergio Aguero
Sergio Aguero akishangilia bao
Everton City
Romelu Lukaku
Alvaro Negredo
Alvaro Negredo
Manchester City's Sergio Aguero
tim howard
Manchester City goalkeeper Joe Hart
Manchester City's Sergio Aguero
Joe Hart
Joe Hart
Everton City
City Everton
Manchester City captain Vincent Kompany



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU