Facebook Comments Box

Thursday, February 28, 2013

UNAAMBIWA HII NDIO HOTELI NDEFU KULIKO ZOTE DUNIANI: ANGALIA NA MANDHARI YAKE

Hivi ndivyo jengo hoteli hiyo inavyo onekana

Hii ni sehemu ya kupumzika na kupata chakula kwenye hoteli hiyo



Hata hapa chakula kinalika






Hoteli hii imefunguliwa Dubai Tarehe 26 baada ya kupata hadhi ya Hoteli ndefu kuliko zote duniani kutoka kwa Guinness World Records ambao ni watunza kumbukumbu wa matukio wa dunia.
Hoteli hii ina mita 355 ambazo ni sawa na futi 1,099. Jengo refu kuliko yote duniani lina mita 828 ambazo ni sawa na mita 2,717

 

 

 

 

 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU