Hoja ya Chadema ni kwamba kama Nape angekuwa mtoto halali wa Marehemu 
Brigedia Moses Nnauye basi lazima angetajwa kwenye tangazo hilo la 
kumbukumbu ya kifo cha mwanasiasa huyo maarufu. Je jina la Nape 
lilisahaulika kimakosa?Je hoja ya Chadema ina ukweli ndani yake?Labda 
Nape atajitahidi kutolea ufafanuzi tashwishwi hii.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
