Facebook Comments Box

Friday, August 22, 2014

RAIS KIKWETE ASAFIRI KWA TRENI KULEKEA ZIARANI MIKOANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika kituo cha kusali baada ya kasafiri kwa treni katika ziara ya Mkoa  wa Morogoro.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipanda treni ya TAZARA kueleke Kisaka Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa  huo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara ya Mkoa huo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera, Mbunge wa Morogoro Kusini Mhe Innocent Kalogeris na Katibu wa Rais Bw. Prosper Mbena wakiongea ndani ya behewa maalum la VIP la treni la TAZARA wakati wa safari ya Rais Kikwete kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro.


Mama Salma Kikwete, Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli, Mkurugenzi Mkuu wa TAZARA Bw. Ronald Phiri (kulia) na viongozi wengine ndani ya behewa maalum la VIP la treni ya TAZARA wakati wa safari ya Rais Kikwete kuelekea Kisaki katika ziara yake ya mkoa wa Morogoro.





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU