Facebook Comments Box

Friday, August 22, 2014

PICHA ZA LUIS FIGO ALIPOTUA TANZANIA LEO

Mtangazaji wa michezo wa E-FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa.
Figo na Karembeu wakipata chakula cha usiku


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU