Facebook Comments Box

Saturday, April 13, 2013

NDEGE YA MAREHEM WAKILI NYAGA YAANGUKA ARUSHA NA KUUA


Ndege iliyokuwa inamilikiwa na Wakili Maarufu Marehem Nyaga Mawalla aliyefariki wiki tatu zilizopita na kuzikwa Nairobi, imeanguka ikiwa katika hatua za mwisho za kutua katika uwanja wa Ndege wa Arusha
Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee anayejulikana kwa jina la Jamal B S, au maarufu kama "Bob Sambeke" aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro ambaye naye kapoteza maisha (kafariki)!
Inadaiwa kuwa ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja (saa 12.30 jioni) kupita.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU