Facebook Comments Box

Saturday, April 13, 2013

FULL TIME: YANGA 3 - 0 JKT OLJORO

FULL TIME: YANGA 3 - 0 JKT OLJORO

DK 45 Saidi Bahanuzi anakosa goli hapa akiwa yeye na kipa. Refa anaongeza dakika 5 za nyongeza

DK 31 Said Bahanuzi anaotea hapa. Amekuwa akiotea mara kwa mara hii inatokana labda na kuwa na usongo wa kufunga

DK 22 BAHANUZI anafunga goli ila refa anasema amekwisha otea

DK 14 anaingia Said Bahanuzi kuchukua nafasi ya Kavumbagu alie umia 

DK 5 OLJORO wanafanya mabadiliko anatoka Golikipa na kuingia mwingine (Shaibu Mussa)

KIPINDI CHA PILI NDIO KINAANZA

HALF TIME: YANGA 3 - 0 JKT OLJORO

DK GOOOOOOOL Hamis Kiiza anaipatia Yanga bao la tatu. Hii ni baada ya pasi zinazojulikana kama 'One two' wakiwa watatu. Yanga 3 Oljoro 0. Refa anaongeza dakika 3 za nyongeza

DK 43 Athumani Idd Chuji anapiga shuti kali na linatoka sentimita chache kutoka golini

DK 40 Yanga 2 - 0 JKT Oljoro. Mpira unaonekana kuelemea upande mmoja Yanga wamekuwa  wakilishambulia sana goli la wapinzani wao

DK 39 Saimon Msuva anaingia na mpira na kupiga shuti kali linalopanguliwa na goli kipa

DK 31 Shadrack Nsajigwa anaingia kuchukua nafasi ya Juma Abdul

DK 30 Nsajigwa anapasha inaonekana Juma Abdu hawezi kurudi uwanjani
 
Dk 19 GOOO...! Msuva anaifungia Yanga bao la pili baada ya kuipangua ngome ya Oljoro na kupiga shuti hafifu. YANGA 2-0 OLJORO

Dk 16 Oljoro wanaonekana wamezinduka nao wameanza kutawala kiungo huku wakicheza pasi fupi fupi.


Dk 13 Paul Nonga wa Oljoro anatengewa mpira vizuri na Idd Swaleh lakini shuti lake linatoka nje ya lango la Yanga.


Dk 10 Yanga imetawala mchezo hasa kiungo na imefanya mashambulizi mengi langoni kwa Oljoro.


Dk 5 GOOO....! Nadir Haroub 'Cannavaro' anaipatia Yanga bao la kwanza kwa kichwa akiunga mpira wa kona. YANGA 1-0 OLJORO


3 Simon Msuva wa Yanga anapiga shuti kali langoni kwa Oljoro kipa anaupangua na kuwa kona. Kipa anaumia baada ya kuucheza mpira huo. Mchezo unasimama ili kipa atibiwe.


Dk 1 Juma Abdul wa Yanga anapiga shuti kali langoni kwa JKT Oljoro lakini kipa Lucheke Musa anaudaka mpira. Abdul alipewa pasi na Frank Domayo.


Dk 00 MPIRA UMEANZA!


Young Africans line-up to face JKT Oljoro today

1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Juma Abdul
3.David Luhende
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athuman Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo 'Chumvi'
9.Didier Kavumbagu
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima


Subs:
1.Yusuph Abdul
2.Shadrack Nsajigwa
3.Oscar Joshua
4.Salum Telela
5.Nurdin Bakari
6.Nizar Khalfani
7.Said Bahanuzi


JKT Oljoro:
1.Lucheke Musa, 
2.Yusuf Machogoti,
3. Majaliwa Sadiki, 
4. Nurdin Mohamed,
5.Shaibu Nayopa, 
6.Salim Mbonde, 
7.Karage Mgunda, 
8.Emmanuel Memba, 
9. Paul Nonga, 
10.Idd Swaleh 
11.Hamis Salehe.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU