Facebook Comments Box

Tuesday, February 5, 2013

NCCR-MAGEUZI WAIBOMOA CHADEMA MBEYA: VIONGOZI NA MAKADA ZAIDI YA 20 WAJIUNGA NA NCCR MAGEUZI

Moses Mwasubira, ambaye alikuwa mwenezi wa Chadema wilaya ya Mbeya akikabidhiwa kadi ya NCCR na 
Mmoja wa kada Chadema, Emanuel Mwangoka (Cash Money), ambaye inadaiwa kuwa ndiye alikuwa mfadhili Mkuu wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema), akikabidhiwa kadi ya chama kipya, alisema atatumia uwezo wake wote kama alivyofanya kwa sugu kuhakikisha NCCR-Mageuzi inaibuka na kung’ara mkoani 
Mjumbe wa Halmshauri Kuu taifa ya chama hicho, Juju Danda,
 Mjumbe wa Halmshauri Kuu taifa ya chama hicho, Juju Danda, katika tukio la kuwapokea wanachama wapya 21 waliojunga na chama hicho, wakitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 Aliyewahi kuwa Katibu wa Chadema Mkoa wa Mbeya na kujiunga na NCCR-Mageuzi , Januari 20 mwaka huu Eddo Mwamalala, alisema wanachama hao waliomfuata ni mtaji mkubwa wa kuhakikisha inakimaliza chadema mkoani hapa.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU