Facebook Comments Box

Saturday, February 14, 2015

BREAKING NEWS: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA

Baraza la mitihani la taifa (NECTA) wameweka matokeo ya kidato cha nne kwa wanafunzi walio maliza kidato cha nne mwaka 2014.
Haya ni baadhi ya matokeo ya shule ya Mivumoni Islamic Secondary ambao imeshika nafasi ya 20 kitaifa. Wanafunzi wa shule hiyo wamepata Distinction 18 na Merit 21. matokeo mengine ingia kwenye link hapo chini.
BONYEZA HAPA KUPATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU