Facebook Comments Box

Thursday, August 21, 2014

SITTA AZUNGUMZIA MWENENDO WA KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akizungumza na waandishi wa habari alipokutana nao leo kuhusu muhtasari wa kikao cha Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo kilichokaa leo kutathmini kazi za kamati 12 za Bunge hilo lilipofikia pamoja kuridhia baadhi ya maependekezo ya kuongeza ibara na sura ndani Rasimu ya Katiba katika Kamati zao.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU