Facebook Comments Box

Monday, April 21, 2014

HUYU NDIO MKUU WA WILAYA ALIE FARIKI

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo enzi za uhai wake Mhe. Moshi
Mussa Chang'a ambae amefariki dunia jioni ya leo katika
Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa
akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na
Kisukari.
Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya
kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote
walioguswa na msiba huu.
Inna lilah wa inna illayh rajiuun.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU