Facebook Comments Box

Monday, April 21, 2014

DAVID MOYES KUFUKUZWA MUDA WOWOTE.

Habari za ndani zinasema kocha wa Manchester United David Moyes atafukuzwa muda si mrefu.
Hii inatokana na familia ya Glazer kuchoshwa na vipigo inayopata timu hiyo.
Inasemekana familia hiyo imesikitishwa na kukasirishwa sana na kipigo cha mwisho ambacho timu hiyo ilipata kipigo cha bao mbili kwa bila.
Na habari zaidi zinapasha wiki hii inawezekana isiishe kocha huyo atakuwa amefungiwa virago.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU