Facebook Comments Box

Monday, October 28, 2013

HIZI NDIO CHANELI ZINAZO PATIKANA KWENYE KING`AMUZI CHA AZAM MEDIA

Leo katika ukurasa wa Facebook wa Azam TV wameweka idadi na majina ya chaneli zinazopatikana kwenye king`amuzi chao. Chaneli zilizo orodheshwa zipo 45 ikiwa ni kinyume na tangazo lao linalo onesha zitakuwa chaneli kuanzia hamsini. Vilevile bado hawajaeleza kinaanza kupatikana lini na wapi na gharama zake za uwekaji na kwa mwezi. Ila katika maelezo hayo wameainisha chaneli za kulipia na za bure
Chaneli walizo weka ni hizo hapo chini:


FILAMU:
 

1.Sinema Zetu  2.MGM Movies  3.African Movie Channel  4.Zee Cinema  5.Star Gold

BURUDANI:
 

1.Azam 1  2.Azam 2  3.Fox Entertainment  4.FX  5.e.tv  6.ZOOM  7.Star Plus  8.Zing  9.Colours  10.Euro Channel

MICHEZO:

 

1.Setanta Africa  2.Kombat Sports  3.MCS Compact  4.MCS Extreme

MUZIKI:
 

1.MTV BASE  2.MTV India  3.Box TV

MAARIFA:
 

1.Nat Geo  2.Discovery Investigation  3.Discovery Science

MAISHA:
 

1.Fine Living  2.Outdoor  3.Landscape

HABARI:
 

1.BBC News  2.Al-Jazeera - English  3.Al-Jazeera - Arabic  4.ENCA  5.Times Now

WATOTO:
 

1.Kids Co  2.Nickelodeon  3.Al-Jazeera - Kids

CHANELI ZA BURE:
 

1.TBC  2.Clouds TV  3.ZBC  4.Channel 10  5.Mlimani TV  6.KBC  7.Citizen  8.K24  9.KTN
Tangazo la Azam Tv linalo onesha kuwa kutakuwa na Chaneli kuanzia hamsini

Picha ya maelezo ya facebook ya ukurasa wa Azam TV


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU