Facebook Comments Box

Tuesday, October 1, 2013

EVERTON YAICHAPA NEWCASTLE UNITED MAWILI KWA BILA


Mshambuliaji Romelu Lukaku amefunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 wa Everton dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa Goodison Park.
 
Lukaku alifunga mabao hayo katika dakika za tano na 37,wakati lingine lilifungwa na Barkley dakika ya 25 na mabao ya Newcastle United yalifungwa na Cabaye dakika ya 51 na Remy dakika ya 89.
 
Mshambuliaji huyo anamuonyesha kocha wa Chelsea, Mreno Jose Mourinho kwamba alikosea kumruhusu kuondoka majira ya joto. 
 
Kikosi cha Everton kilikuwa; Howard, Baines, Distin, Jagielka, Coleman, Mirallas/Deulofeu dk73, McCarthy, Barry, Osman/Stones dk90, Barkley/Naismith dk88 na Lukaku.
 
Newcastle United: Krul, Debuchy, Yanga-Mbiwa/Williamson dk45, Coloccini, Santon, Anita/Cisse dk69, Tiote, Sissoko, Gouffran, Remy na Ben Arfa/Cabaye dk45.
Main man: Romelu Lukaku scored two of Everton's goals to put Newcastle to the sword at Goodison Park
Romelu Lukaku ameifungia mabao mawili Everton ikiilaza Newcastle 3-2 Uwanja wa Goodison ParkOpening salvo: Lukaku needed just five minutes to score Everton's first as they eased to victory
Dakika tano zilitosha kwa Lukaku kufunga bao la kwanzaBright spark: Ross Barkley continued to showcase his potential with a calmly taken second goal for Everton
Barkley akishangilia baada ya kufunga
Open goal: A defensive mistake from Newcastle allowed Lukaku to slam the ball home from close range
Lukaku akifunga bao la kwanzaOpen goal: A defensive mistake from Newcastle allowed Lukaku to slam the ball home from close range
Lukaku akifunga bao lake la pili


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU