Facebook Comments Box

Tuesday, October 1, 2013

CHEZEA MVUA ZA DAR WEWE? MREMBO APANDA MKOKOTENI MWENYEWE!!!


Kama anavyoonekana hapo juu katika picha mbili, mrembo huyu akionekana japo akiwa na woga lakini alikuwa hana jinsi baada ya mvua kunyesha Dar na hali kuwa kama inavyoonekana hapo, hali ilibadilika ghafla na maji kujaa barabarani na foleni za hapa na pale ndani ya Jiji hili hapo Jana Tarehe 30/09/2013.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU