Facebook Comments Box

Thursday, September 19, 2013

TAZAMA PENNY ALICHOSEMA KUHUSU NASEEB ABDULMALIK 'DIAMOND PLATNUMZ'

Diamond na Penny
Penny 
Mwanadada anayewapandisha presha wadada wa mujini Penny Mungilwa 'sukari ya Diamond' ameongea nakueleza mengi kuhusu sukari wake huyo ambaye kwa sasa yupo nchini malaysia katika bonge la show.

Penny ambaye pia ni mtangazaji wa Tv hapa nchini tanzania amesema kwake hakuna wakati mgumu anaoupata kama Diamond akisafiri penny aliieleza kuwa anaumia sana kumkosa sukari wake huyo na mara nyingi hujikuta akiugua kabisa kama Diamond akimtajia safari.
Penny ameyasema hayo wakati Diamond akiwa nchini malaysia kikazi alikokwenda kupiga show na kumuacha Penny peke yake, "Kiukweli hakuna wakati mgumu na huwa naumwa kama diamond akisafiri yaani huwez  amini nimemzoea sana bby wangu jamani", alisema Penny. 

Muandishi wetu alimdadisi kutaka kujua kwanini aumwe au hamtakii mwenzie mafanikio maana mtu kama Diamond anaposafiri kikazi ujue ndio anaingiza mkwanja na pia anajitangaza yeye na nchi yetu kiujumla No, nafurahi anaposafiri na ninamtakia mafanikio mema ila nataka ujue tu kuwa nikutokana na jinsi tulivyoshibana na kuzoeana na sio mimi pekee yangu hata yeye nikisafiri hapati usingizi ni simu hadi kunakucha alisema mwanadada huyo.




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU