Facebook Comments Box

Thursday, September 26, 2013

ARSENAL KUMENYANA NA CHELSEA BAADA YA KUITOA WESTBROM KWA PENATI 4-3

 
Klabu ya Arsenal iliendeleza wimbi la ushindi kwa kuitoa kwa matuta West Brom Uwanja wa The Hawthorns na kuingia Raundi ya Nne ya michuano hiyo. Eisfeld aliifungia Arsenal dakika ya 61 kabla ya Berahino kusawazisha dakika ya 71.
 
Arsenal itamenyana na wapinzani wao katika Jiji la London, Chelsea katika Raundi ya Nne ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup baada ya kuitoa West Brom kwa penalti 4-3 Uwanja wa Hawthorns.
 
Mechi hiyo iliisha kwa sare ya 1-1 usiku wa jana ndipo ilipoamuriwa zipigwe penati ambapo Washindi walipata penati zao 4 na walikosa moja wakati Westbrom wao walikosa penati mbili.
 
Keeping his cool: Nacho Monreal stepped up to convert the winning penalty for Arsenal
 Nacho Monreal akiifungia Arsenal penalti ya ushindi
Cue celebrations: Monreal's Arsenal team-mates rushed to congratulate the Spaniard after his strike
Monreal na wachezaji wenzake wa Arsenalwakishangilia
Nice work: Arsene Wenger talks to the returning Nicklas Bendtner before his penalty Arsene Wenger akizungumza na Nicklas Bendtner kabla ya kupiga penalti yake
Cool: Arsenal's Thomas Eisfeld netted the opener for the visitors after the hour mark
Thomas Eisfeld akiifungia bao la kwanza Arsenal
Incoming: Nicklas Bendtner collides with the post in the first half at The Hawthorns
Nicklas Bendtner alikuwa mwiba usiku wa jana The Hawthorns
New look: The Denmark striker donned a beard and a David Beckham-esque haircut
Mdenmark Nicklas Bendtner amekuja kwa staili ya nywele za David Beckham
Congratulations: Bendtner and Eisfeld are mobbed by team-mates after Arsenal opened the scoring
Bendtner na Eisfeld wakipongezwa na wachezaji wenzao


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU