Facebook Comments Box

Friday, June 28, 2013

HISPANIA YAFANYA KILICHOTAKWA NA WAPENZI WENGI WA SOKA PALE ILIPOING'OA ITALIA KWA PENATI 7-6 NA KUTINGA FAINALI

HISPANIA imeitoa Italia katika Kombe la Mabara kwa ushindi wa matuta wa 7-6 mjini Fortaleza, kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120 katika mchezo mkali wa Nusu Fainali.

Wataliano walifungwa na Waspanyola katika Fainali ya Euro mwaka jana wameshindwa kulipa kisasi na sasa Fainali ya michuano hiyo mwaka huu Jumapili Uwanja wa Maracana, itawakutanisha wenyeji Brazil na Hispania kama wapenzi wengi wa soka walivyokuwa wanataka ili waone soka ya uhakika ikichezwa ndani ya Maracana.

Leonardo Bonucci wa Italia alikosa moja ya penati yake na Jesus Navas akaweka nyavuni mkwaju wa mwisho na kuipeleka Hispania Fainali.


Close shave: Spain moved through to the Confederations Cup final after beating Italy on penalties in Fortaleza


Dramatic: Spain triumphed 7-6 in a dramatic shootout to set up a dream final against Brazil
Off target: Italy blinked first in the shout-out when Leonardo Bonucci fired over at 6-6
Decisive: Jesus Navas stepped up to score the winning penalty and send Spain to the final
Jesus Navas akiifungia Hispania Penati ya Mwisho na Kutinga Fainali ambapo watapambana na wenyeji Brazil ndani ya Uwanja wa Maracana.
Evens: The teams were locked at 0-0 after 120 minutes in the all European semi-final
Torres
Outnumbered: Italy's Giorgio Chiellini tries to win a header against Sergio Ramos and Gerard Pique
Effort: Fernando Torres attempts a shot on goal as Gianluigi Buffon watches
On the ball: Manchester City's David Silva attempts one of his elusive runs
David Silva
Held his nerve: midfielder Andres Iniesta slotted his penalty past Buffon in the Italian goal
Andres Iniesta.





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU