
Polisi
 wakijaribu kuchunguza eneo bomu lilipolipukia leo asubuhi wakati wa 
misa ya kuzindua kigango hicho.iliyo katika kata ya olasiti na parokia 
ya burka

Majeruhi wa tukio hilo wakiwa ndani ya gari wakipelekwa hospitali
Umati
 wa  wananchi wa mkoa wa Arusha wakiwa njiani kuelekea kuangalia ndugu 
na jamaa zao waliokuwamo kwenye ibada hiyo inasadikika majeruhi zaidi ya
 thelathini na watano wapo hospitali huku kukiwa hakuna taarifa ya vifo.
 Kanisa
 lililolipuliwa likiwa linaonekana kwa mbali 
wananchi wakiwa katika eneo la tukio
Polisi waki imarisha doria eneo la tukio baada ya majeruhi kukimbizwa hospitali kupatiwa matibabu zaidi ...Mpaka tunaondoka eneo la tukio Viongozi mbali mbali akiwemo mmbunge wa arusha walikuwemo eneo hilo




Polisi waki imarisha doria eneo la tukio baada ya majeruhi kukimbizwa hospitali kupatiwa matibabu zaidi ...Mpaka tunaondoka eneo la tukio Viongozi mbali mbali akiwemo mmbunge wa arusha walikuwemo eneo hilo
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog