Facebook Comments Box

Thursday, March 21, 2013

RAILA ODINGA AMCHUKUA WAKILI WA GEORGE W. BUSH


RAILA ODINGA ACHUKUA WAKILI WA GEORGE.W.BUSH NA HOFU KUHUSU HALI YA KISIASA NCHINI KENYA.

Uchaguzi wa Nchi ya kenya imeleta hali ya mtafarakano na kutoelewana baina ya wanasiasa wa Kenya huko Usalama wa Nchi hiyo ikiwa mashakani.

Nchi ya kenya inayoaminika kuwa mmoja kati ya Nchi za Kiafrika inayosifika kwa Rushwa ambayo Mashirika ya Nchi za Magharibi inauona Nchi hiyo Muhimu sana upande wa Mapambano dhidi ya kile wanachokiita Ugaidi/Uislamu.

Waziri mkuu wa Kenya aliyemaliza Muda wake raila Odinga amemchukua Wakili wa George w Bush aliyekuwa Kiongozi wa Kupambana na Uislamu Duniani wakili Wiliam Burck, Siasa ya Nchi ya Kenya unaonekana kuleta tofauti wa kisiasa huko Marekani ambapo wanasiasa hao wamagawanyika kwa Raila na Uhuru Kenyatta, Raila Odinga aliyeingia na Mktaba na Mayahudi ambapo Raila Odinga anapata Usaidizi kutoka kwa Mayahudi ili kuendeleza Mradi wao wa Kupambana na Uislamu ktk Nchi ya Somalia na pia Kupora mali asili ya Nhi hiyo.

Habari kuhusiana na Wakili Wiliam barck imesambazwa na Mashirika ya habari ya Marekani ya Ap na Televisheni ya Fox9,inaonekana Chuki waliyonayo mayahudi Dhidi ya Uislaam wanataka Raila Odinga angeweza Kuchaguliwa,na pia vyombo vya habari vya Nchi za Magharibi inamuunga Mkono Raila Odinga,Nchi ya Somalia ilishindwa kutulia kutokana na Nchi ya Kenya na Ethiopia.

Makabila haya ya Raila Odinga na Uhuru Kenyatta ni mahasimu wa Kisiasa na inahofiwa Nchi hiyo kutumbukia Mchafuko wa Kikabila na wa Kisiasa,Uchaguzi wa Mwaka 2007 Kenya ilitumbukia Mchafuko wa umwagikaji Damu nyingi huko watu wengi wakipoteza Maisha yao na wengine wakihama makwao na kuwa Wakimbizi wa Ndani.

Uchaguzi wa Nchi ya kenya imeleta hali ya mtafarakano na kutoelewana baina ya wanasiasa wa Kenya huko Usalama wa Nchi hiyo ikiwa mashakani.

Nchi ya kenya inayoaminika kuwa mmoja kati ya Nchi za Kiafrika inayosifika kwa Rushwa ambayo Mashirika ya Nchi za Magharibi inaona Nchi hiyo Muhimu sana upande wa Mapambano dhidi ya kile wanachokiita Vita dhidi ya  Ugaidi.


Waziri mkuu wa Kenya aliyemaliza Muda wake Raila Odinga amemchukua Wakili wa George W Bush aliyekuwa Kiongozi aliesababisha vita katika maeneo mbalimbali  Duniani wakili Wiliam Burck.
Siasa ya Nchi ya Kenya unaonekana kuleta tofauti wa kisiasa huko Marekani ambapo wanasiasa hao wamagawanyika kwa Raila na Uhuru Kenyatta.
Habari kuhusiana na Wakili Wiliam barck imesambazwa na Mashirika ya habari ya Marekani ya Ap na Televisheni ya Fox9 inaonekana wamarekani walitaka Raila Odinga  achaguliwe na pia vyombo vya habari vya Nchi za Magharibi inamuunga Mkono Raila Odinga.
Nchi ya Somalia ilishindwa kutulia kutokana na Nchi ya Kenya na Ethiopia. Kenya ndio alikuwa mshiriki mkuu katika vita hivyo na Raila ndio alikuwa mmoja wa wasimamizi wakuu wa vita hivyo kama waziri mkuu

Makabila mawili  ya Raila Odinga na Uhuru Kenyatta ni mahasimu wa Kisiasa na inahofiwa Nchi hiyo kutumbukia Mchafuko wa Kikabila na wa Kisiasa,Uchaguzi wa Mwaka 2007 Kenya ilitumbukia Mchafuko wa umwagikaji Damu nyingi huko watu wengi wakipoteza Maisha yao na wengine wakihama makwao na kuwa Wakimbizi wa Ndani.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU