Facebook Comments Box

Friday, March 1, 2013

POLISI MKOA WA KINONDONI YAKAMATA MAJAMBAZI NA SILAHA


Baadhi ya silaha zilizokamatwa klatika msako na Polisi Mkoa wa Kinondoni zikiwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay leo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela akionesha bastola zilizokamatwa na Polisi wakati wa msako wa majambazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela akionesha nondo zilizokamatwa wakati wa msako huo.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU