Facebook Comments Box

Tuesday, March 5, 2013

HALI ILIVYO DAR ES SALAAM LEO JIONI BAADA YA MVUA

Hapa ni maeneo ya kijitonyama wakati mvua ikiendelea kunyesha
Kama kawaida haya ni maeneo ya Kariakoo mvua kuanza kidogo mitaro ikaziba na maji yakajaa barabarani na kusababisha hali ngumu kwa usafiri. Wakati wa jioni kulikuwa na foleni kubwa katika barabara ya Uhuru na Barabara ya Mandela
Mvua zikianza tu lazima mitaro izibe na maji yajae barabarani



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU