Facebook Comments Box

Thursday, February 7, 2013

VIJANA KIGOMA WAMALIZA MAFUNZO YA JKT


Mkuu wa mkoa kigoma Issa Machibya (Mwenye suti)  akikagua mafunzo kwa vitendo ya vijana wanaomaliza mafunzo ya kujitolewa ya JKT katika kambi ya JKT Kanembwa wilayani Kibondo mkoani Kigoma
Baadhi ya vijana wanaomaliza mafunzo ya kujitolea katika kambi ya JKT Kanembwa wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wakisikiliza hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa kigoma Issa Machibya (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU