Facebook Comments Box

Saturday, February 16, 2013

FULL TIME: AZAM 3 - 1 Al NASIR JUBA

FULL TIME AZAM 3 - 1 AL NASIR JUBA

Dk 94 Gooool Kipre Cheche anaiandikia Azam bao la tatu

Dk 90 zimeongozwa dakika 4

Dk 89 wachezaji wa Al nasir wamekuwa wakijidondosha dondosha ili kupoteza muda

Dk 80 Azam 2 - 1 Al Nasir

Dk 81 Goooool Kipre cheche anaipatia Azam goli la pili

Dk 80 Azam 1 - 1 Al Nasir 

DK 72 kipre cheche anapiga shuti kali kipa wa Al Nasir anatoa nje

Dk 71 John Boco anapiga kichwa kipa wa Al Nasir anaokoa na kuwa kona

Dk 70 Azam 1 - 1 Al Nasir 

Dk 65 Azam 1 - 1 Al Nasir azam wanapata faulo karibia na 18

Dk 59 anatoka Abdi Kassim anaingi John Boco

Dk 52 Azam wanakosa bao. Mpira unagonga mwamba

Dk 48 Abdi Kasim anakosa tena goli la wazi hapa

HT Azam 1 - 1 Al Nasir

Kipindi cha pili kimeanza

Dk 46 Kipa natokea goli linabaki wazi ila Mcha Hamis anapiga mpira nje

Dk 45 Refa anaongeza dakika 3 za ziada

Dk 44 Abdi Kassim "Babi" anakosa goli la wasi kwa kupiga mpira fyongo ndani ya 6

Dk 43 Abraham Malik Sadik wa Al Nasir anaonywa na refa kwa kuoneshwa kadi ya njano

Dk 38 Goooool Al Nasir wanasawazisha hapa. Jacob Osuru anawainua wasudani

DK 37 Azam wanapata kona baada ya piga nikupige kwenye lango la Al Nasir

Dk 30 Azam 1 - 0 Al Nasir

Dk 27 Beki wa Azam anateleza na kuipa nafasi Al Nasir ila Mwadini Ally Mwadini  okoa hatari ile

Dk 21 Abdi Kassim Babi anakosa bao la wazi kipa anautoa mpira

Dk 19 Simon Amanya anaonywa kwa kuoneshwa kadi ya njano. Mcha Hamis anaenda kupiga faulo na inatoka nje

Dk 18 kipre cheche anaingia ndani ya 18 na kutoa pasi ambayo inatolewa nje na beki. Azam wamekuwa wakilisakama lango la wasudani sana

Dk 16 Azam inafanya mabadiliko, ametoka Brian Umony ameingia Khamis Mcha.

Dk 14 Gooo...! Abdi Kasim anaipatia Azam bao la kwanza kwa kichwa akiunga krosi ya Kipre Tcheche. Azam 1-0 Al Nasir.


Dk 13 Azam 0 - 0 Al Nassir Juba

Kikosi cha Azam FC kitakachoshuka Uwanja wa Taifa leo jioni kuikabili Al Nasri Juba ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kinaundwa na

Mwadini Ally (GK), Himid Mao, Malika Ndeule, David Mwantika, Jockins Atudo, Michael Bolou, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Humphrey Mieno, Brian Umony, Abdi Kassim ‘Babi’ na Tchetche Kipre.

Sub: Aishi Salum, Luckson Kakolaki, Khamis Mcha ‘Vialli’, John Bocco, Ibrahim Mwaipopo, Jabir Aziz, Abdulhalim Humud, Seif Abdalah ‘Karihe’, Gaudence Mwaikimba, Seleman Uhuru na Omari Mtaki

Benchi la ufundi: Kocha Stewart Hall, msaidizi Ibrahim Shikanda, kocha wa makipa Idd Abubakar, Daktari Mwanandi Mwankemwa na Paul Gomez

All the Best Guys!
God Bless Azam FC, God Bless Tanzania!


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU