Facebook Comments Box

Saturday, February 16, 2013

JE, PICHA HII INATOSHA KUTHIBITISHA KUWA HUYU NDIO MPENZI MPYA WA DIAMOND?

katika kusheherekea siku ya wapendanoa mwanamuziki kipenzi cha warembo Diamond "rais wa wasafi" aliamua kuweka picha yake na anayesadikiwa kuwa mpenzi wake mpya Penny Mungilwa kwenye mtandao wa Instagram. Kitendo hicho hakikuwapendeza watu wengi ambao watu wengine walimshambulia na kumwambia awe na heshima na wanawake. Picha hiyo ambayo ilifanyiwa mabwebwe ili ionekane kama ya zamani kidogo na isionekane vizuri iliwashitua washabiki wengi. Mmoja wa washabiki wake waliokerwa ni anaejulikama kwa jina la someaglymofo.




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU