Facebook Comments Box

Sunday, February 24, 2013

AJALI MBAYA IMETOKEA MKOANI IRINGA




Ajali hii iliyohusisha magari mawili,Toyota Rav 4 na Toyota Cresta imetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la jirani na Maktaba ya mkoa, mjini Iringa,ambapo gari hiyo aina ya RAV 4  iliruka ukingo wa barabara  uliojengwa kwa sementi na kutua juu ya Gari hiyo aina ya Toyota Cresta (Taxi) na kushindwa kuendelea na safari.inasemekana kuwa isingesimama gari hiyo aina ya Toyota Cresta,basi dereva wa gari hiyo aina ya Rav 4 labda angekuwa katika wakati mgumu zaidi au kupoteza maisha kabisa. hakuna aliepoteza maisha kwenye ajali hiyo. 
(Picha na Meshack Maganga-Iringa)
HABARI ZAIDI INGIA HAPA 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU