Facebook Comments Box

Wednesday, March 4, 2015

SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA KIELEKRONIKI KATIKA UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM

TIKETI ZA KIELEKRONIKI ZILIZO SITISHWA NA SERIKALI

Serikali imesitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia (Machi 3, 2015) hadi kasoro zilizopo katika matumizi ya tiketi hizo zitakapoondolewa.

Uamuzi huo umetangazwa Machi 3, 2015 jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Juma Nkamia mbele ya viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB.

 IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU