Facebook Comments Box

Sunday, February 22, 2015

CHELSEA YATOKA SARE NA TIMU AMBAYO HUWA INAISUMBUA KATIKA LIGI BURNLEY

 Mshambuliaji wa Burnley akisawazisha bao na kufanya sare ya 1-1


Ivanovic akiifungia timu yake bao la kwanza katika mechi hiyo likiwa ni goli la 4 katika michezo 6 aliyocheza.
Mchezaji wa Chelsea Matic alipewa kadi nyekundu na kutolewa katika mchezaji huo baada ya kumsukuma mchezaji wa Burnley mpaka kumdondosha chini baada ya awali kumchezea rafu.
Wachezaji wa Burnley wakipongezana baada ya kufanikiwa kusawazisha wakiwa ugenini na kufanya mpambano huo kumalizika kwa kufungana 1-1.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU