Facebook Comments Box

Tuesday, October 28, 2014

ABUBAKAR SALUM "SURE BOY" ACHAGULIWA MCHEZAJI BORA WA OKTOBA



Bodi ya ligi kuu soka Tanzania bara TPL Bord imemtangaza mchezaji  wa Azam FC Salum Abubakar  ‘Sure  Boy’ kuwa mchezaji bora wa mwezi oktoba katika ligi kuu soka Tanzania Bara.

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Bodi ya ligi, Mkurugenzi wa Masindano wa TFF Boniface Wambura amesema mchezaji uyo amechaguliwa baada ya kuwasinda kwa vigezo wachezaji wenzake katika michezo ya mwezi  uu wa oktoba.
Mwezi  uliopita  mchezaji  wa Mbeya City Antony Matogolo aliibuka  mchezaji bora wa  mwezi  septemba na kuambulia  kitita cha shilingi milioni moja.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU