Facebook Comments Box

Sunday, August 26, 2012

SIMBA WAITAMBIA MATHARE UNITED

Simba  ikipambana na Mthare United katika uwanja wa Shekh Abeid huko Arusha. Imeibuka na ushindi wa gili 2 kwa 1.Mchezo huu ni wa kirafiki kati ya timu hizi, Simba ikijiandaa na ligi kuu ya Tanzania.
Simba inacheza mechi hiyo kutokana na maombi ya kocha wake Mkuu Milovan Cirkovic, kutaka kuona wachezaji wake ambao wamesajili hivi karibuni.
Simba inawakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku Azam ikishiriki michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kushika nafasi ya pili.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU