Facebook Comments Box

Sunday, September 21, 2014

PICHA: ARSENAL YAMPIGA ASTON VILLA 3 BILA NA R.MADRID YASHINDA 8 KWA 2



'DANNY BOY' Welbeck leo amefunga bao lake la kwanza akiwa na klabu yake ya Arsenal wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 Ugenini dhidi ya Aston Villa.

Arsenal walipata mabao yao matatu ya haraka ndani ya sekunde 200, kwa mabao ya Mesut Ozil, Danny Welbeck na la tatu Aston Villa wakijifunga.
OZIL AKITUPIA LA PILI

BAO LA KUJIFUNGA LA ASTON VILA

JINSI BAO LA WELBECK LILIVYOTENGENEZWA

ARSENE WENGER AKIPIGA PICHA NA KATUNI WA ASTON VILLA

CHRISTIANO Ronaldo ni hatari bwana! amelidhihirisha hilo leo wakati akifunga Hatrick yake ya 23 tangu alipojiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 8-2 dhidi ya klabu ya Deportivo.

Mabao ya Madrid katika mchezo huo yalifungwa na Ronaldo  29', 41', 78', Rodriguez 36', Bale 66', 74', Hernandez 88', 90' huku yale ya Deportivo yakifungwa na Medunjanin 51', Verdú Nicolás 84' 









Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU