Facebook Comments Box

Sunday, September 21, 2014

HABARI MCHANGANYIKO

Rais Nicholas Sarkozy atanganza nia tena ya kugombea Urais kwa kupitia upinzani lakini alama za nyakati inaonyesha nafasi yake ni finyu.

Raia wa Uskochi watangwana Makonde baada ya kugombea matokeo yaliyotolewa ya kula ya Ndiyo au Hapana.Bwana Salmand aendelea kusisitiza "for me a dream never die" moto wa kudai uhuru sasa umewaka rasmi.

Iran yakataa kushirikiana na Amerika katika kuwasambaratisha wapiganaji wa Isis kwani Amerika ni wasaliti.

Katibu mkuu Ombeni Sefue atangaza kuhusu kustafu kwake.asema anahitaji muda wa kupumzika ampongeza Mh.Rais asema elimu ya juu imepanuka sana asema chuo kikuu kipya cha Dodoma kimejengwa na serikali na kuleta tija.pamoja na Taasisi ya Nelson Mandela kule Arusha,chuo kikuu cha sayansi na Teknolojia cha Mbeya na chuo kikuu cha kilimo kinachopangwa kujengwa Butiama pamoja na kampasi mpya ya chuo kikuu cha Muhimbili kule Mlonganzila.

Mdhibiti na mkaguzi wa Hesabu za serikali(CAG).Ludovick Utoh amemaliza muda wake kisheria na kustafu kwa kutimiza miaka 65.

Libya yatangaza hali ya hatari dhidi ya wanamgambo wenye msimamo mkali,,hayo yamejitokeza huku bunge likikataa kuidhinisha baraza jipya la Mawaziri lililoteuliwa na Waziri mkuu Abdullah Al-Thinni.polisi walaaniwa kila kona ni juu ya ukikwaji wa haki za binadamu wanazofanya.

Askari wa zamani ashtakiwa kwa makosa 300,000 nchini Ujerumani bwana Oscar Groening aliyëkuwa katika kambi ya kifo ya Auschwitz mwaka 1994.Kesi hii inatukumbusha wajibu wa vijana kusomea fani ya FOLENSIC SCIENCE(Tizama channel ya discovery Investigation).

Kongamano la sayansi kufanyika Iringa.Chuo kikuu cha Iringa (IU) nóvemba 4 hadi 6 mwaka huu.

Utafiti unaonyesha watu takribani 500 hufariki kwa siku kutokana na matumizi ya tumbaku.

Hizo ni baadhi ya habari zilizopewa uzito. Tukutane wakati mwingine.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU