Facebook Comments Box

Thursday, September 25, 2014

MAN CITY YAIRARUA SHEFF WEDNESDAY

Timu ya Man city usiku wa kuamkia leo imeishushia kipigo kikubwa cha mabao timu changa ya Sheff Wed kwa kuitandika 7 kwa 0, Mabao hayo yaliwekwa kimiani na Lampard dk ya 47 na 90, Dzeko 53 na 77, Jesus Navas dk ya 54, Yaya Toure dk ya 60 kwa penati.
Dzeko akiukwamisha wavuni mpira kama anavyoonekana hapo akiwa ameruka juu.
Frank Lampard akishangilia kwa kugongeana na Navas katika moja ya bao lake.
 Makocha wa timu zote mbili katika harakati zao uwanjani hapo.




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU