Facebook Comments Box

Friday, September 12, 2014

HATIMAYE MV KIGAMBONI YARUDI KAZINI BAADA YA KUTOKA MATENGENEZONI

Kivuko hiki kilikuwa kwenye matengenezo baada ya kuharibika na kufanya kuwepo na kivuko kimoja tu ambacho ndicho kikubwa cha Mv Magogoni, siku chache zilizopita Waziri wa Ujenzi Mh. John Pombe Magufuli aliwatembelea Navy kukagua matengenezo ya kivuko hicho na kuwataka wamalize haraka marekebisho hayo ili kuwasaidia wananchi maana wanateseka kwa kusubiri Kivuko kimoja kiende halafu kirudi.

Na Jeshi limetimiza ahadi kwa kukamilisha matengenezo hayo na jana Tarehe 11 septemba 2014, Kivuko hicho kimerudi na kuanza kazi yake rasmi kama kinavyoonekana katika picha ya kwanza na ya pili hapo juu.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU