Facebook Comments Box

Wednesday, August 27, 2014

SIMBA YAICHAPA MAFUNZO

Timu ya Simba ya Dar es salaam leo imeibuka kifua mbele kwa kuifunga timu ya mafunzo mabao mawili kwa bila.
Chini ni picha za mechi hiyo
Wachezaji wa simba wakishangilia Goli la Elias Chaguli aliesajiliwa kutoka ruvu Shooting. Alifunga goli dakika ya 60 ya mchezo huo. Magoli ya Simba yote yamefungwa kipindi cha pili cha mchezo huo wa kirafiki
  
Goli la simba la dakika ya 70 limefungwa na Haruna Chanongo
Watu wakishuhudia mechi hiyo ya kirafiki

kocha wa simba akiongea na waandishi wa habari



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU