Facebook Comments Box

Saturday, August 30, 2014

HII NDIO TIMU ANAYOENDA RADAMEL FALCAO

Mchezaji wa Monaco Radamel Falcao ameuthibitishia ulimwengu kuwa atajiunga na Madrid. Mchezaji huyo alituma ujumbe wa furaha katika akaunti yake ya tweeter na baadae kuufuta ujumbe huo ila tayari watu tulikuwa tumesha upiga picha.
 Wadadavuaji wengine wanasema huenda akaunti yake itakuwa imetekwa na maharamia wa mtandao maarufu kwa jina la kiingereza la "hackers "
Chini ni picha ya ujumbe huo.




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU