Facebook Comments Box

Saturday, April 19, 2014

PICHA: YANGA NA SIMBA ZILIVYOKUTANA LEO.

Akiwa mbele kuwaongoza wachezaji wenzake katika kushangilia bao lake la kusawazisha ni Saimon Msuva


mshambuliaji wa Yanga Kavumbagu akiwatoka mabeki wa Simba

Akitafuta mbinu sahihi za kuwatoka mabeki wa simba ni mfungaji wa bao safi la kusawazisha la Yanga Simon Msuva
Shabiki wa Yanga



Mchezaji wa Yanga Hamisi Kiiza "Diego" akiruka daluga la beki wa Simba Chollo

the


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU