Facebook Comments Box

Sunday, October 27, 2013

PICHA YA LEO: WACHEZAJI WA YANGA NA SIMBA WASALI PAMOJA

Picha chini ni timu B ya Yanga na simba walisali pamoja baada ya pambano lao kuisha kwa suluhu ya goli moja kwa moja.
Huu ndio mchezo wa kiungwana hongereni vijana mmeonesha njia



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU