Facebook Comments Box

Tuesday, May 21, 2013

PICHA ZA PROFESA JAY AKIJIUNGA NA CHADEMA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Joseph Haure (Profesa J) kushoto akionyesha kadi ya Chadema kulia ni Mbunge wa Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu)

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imeongeza idadi ya makamanda kutoka katika kundi la Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Haule (Profesa J).
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye pia ni Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni aliyesoma hotuba ya  Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, ndiye alisimamia zoezi zima la kumpokea mwanachama huyo mpya.
Profesa J alijikuta katika mtandao wa Chadema kirahisi baada ya kutinga katika kikao cha Bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Ingawa Profesa J pekee ndiye aliyefanya uamuzi wa kujiunga na Chama hicho kilichojizolea umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni hususan katika Jimbo la Mbeya Mjini inayongozwa na Sugu.
Wasanii wengine waliotinga katika Jiji hilo ni pamoja na Judith Wambura(Laddy jdee),Joseph Haule(Profesa J)Mkoloni na wengine
 

Kitendo cha Profesa Jay kuchukua kadi ya CHADEMA au wasanii kujiingiza kwenye siasa kinatupa mwanga gani kwanzia kampeni mpaka uchaguzi 2015?? kwangu naona watasaidia kuwaelimisha wengi na kuwapa motisha ya kupiga kura!!!! wewe unafikiria nini????.........................


######LIKE PAGE#############
Sugu na Prof Jay





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU