Facebook Comments Box

Wednesday, May 29, 2013

KESI YA UCHOCHEZI YA LEMA (MB) YA AHIRISHWA

Picture
Mbunge wa Arusha Mjini na Mjumbe wa Kamati Kuu (CHADEMA) akitoka Mahakamani na mawakili wake Humphrey Mtui na Method Kimomogoro asubuhi hii mara baada ya kesi inayomkabili kuahirishwa
Hakimu Devota Msofe wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ameahirisha hadi Julai 7, 2013, shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), kwa tuhuma za uchochezi kwa wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) anaotuhumiwa kuufanya Aprili 24 mwaka huu, ili kesi hiyo ianze kusikilizwa upelelezi utakapokuwa umekamilika.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU