Facebook Comments Box

Wednesday, March 6, 2013

RAIS WA VENEZUELA HUGO CHAVEZ AMEFARIKI

Rais wa Venezuela Hugo Chavez amefariki dunia jana na kifo chake kuthibitishwa na makamu wa rais Nicolas Maduro

Wananchi wa mtaa wa caracas wakilia kwa uchungu baada ya taarifa ya msiba wa rais Hugo ambae alikuwa kiboko ya nchi za magharibi kwa msimamo wake usio tetereka



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU